Monday, 15 April 2019

JINSI YA KUEPUKANA NA SARATANI

1. Kuepuka matumizi ya sigara
       Hii itapunguza saratani ya mapafu, ini, na hata saratani ya damu

2. Kuepuka matumizi ya nyama nyekundu( red meats) hasa zilizo sindikwa kiwandani
    Hii ni kwasababu nyama nyekundu ina kemikali nyingi

3. Kuepuka kua na wapenzi wengi.
       Hii itapunguza uwezekano wa kupata saratani ya shingo ya mlango wa kizazi kwa wanawake na koo la chakula

4. Kupunguza unene ulio pitiliza


No comments:

Post a Comment

           AFYA YA MOYO Moyo ni kiungo muhimu mwilini maana ndicho husukuma damu. Magonjwa yasiyo ambukiza ( non communicable diseas...