1. Kuepuka matumizi ya sigara
Hii itapunguza saratani ya mapafu, ini, na hata saratani ya damu
2. Kuepuka matumizi ya nyama nyekundu( red meats) hasa zilizo sindikwa kiwandani
Hii ni kwasababu nyama nyekundu ina kemikali nyingi
3. Kuepuka kua na wapenzi wengi.
Hii itapunguza uwezekano wa kupata saratani ya shingo ya mlango wa kizazi kwa wanawake na koo la chakula
4. Kupunguza unene ulio pitiliza
No comments:
Post a Comment